Wednesday, 24 August 2016

VIPI NITAKUA MJASIRIAMALI (ENTREPRENEUR) !

FUNZO KWA WAJASIRIAMALI
Kama unachipukia au ndo unaendelea katika ujasiriamali (biashara), jaribu kufuata na kuzingatia mambo yafuatayo :- 
1. Start with small; Think Big (Anza na kidogo; fikiria cha juu zaidi). Nafikiria kama unataka kuwa mjasiriamali (mfanya biashara) mwenye mafanikio na huna uwezo wa kugharamia namna ya kuwa namna hio, unahitajika uamini kwamba unaouwezo wa kubadili mazingira yako kwa kile kitu unachokifanya....

2. Money will follow (Pesa itakutafuta na kukufata). Unapoanzisha ujasiriamali au biashara yoyote uzianzishe kwa sababu ya kupata pesa pekee, ni lazima uanzishe kutokana na ujuzi na hamu (Passion) ulionayo juu ya biashara hio badala ya Pesa. Ni muhimu sana kutambua punde biashara yako itakapo kua (grow) upatikanaji wa pesa hautoepukika.
 
3. Enjoy it (Furahia kile unachokifanya). Jaribu kuvutiwa na kukipenda kile ulicho kianzisha, kwasababu isipokipenda kuna uwezekano wa kupata tabu kukiendesha kwa muda mrefu (will be suffering a very long time)

4. Hard work and determination (Fanya kazi kwa bidii na Hamasa). Kwa ushirikiano na wenzio (team) unakupasa ufanye kazi kwa bidii hususani katika kutafuta utatuzi (solution) wa matatizo katika biashara husika.
WILL CONTINUE !!!
 
 TAILORING DESIGNER - UNIFORM DEALER
FUONI - MAHARIBIKO
ZANZIBAR.
0718001830. 
ULIPO TUPO; UNGUJA - ZANZIBAR

No comments:

Post a Comment