Wednesday, 24 August 2016

WHERE YOU ARE ???

WATU SABA MUHIMU (SEVEN IMPORTANT PEOPLE B4 THE GOD)
Kuna maandiko tofauti yaliokuja na kuweka wazi watu walibora na muhimu mbele ya mola wao. Takriban mifumo yote imeonesha watu hao kulingana vitabu vyao vinavyoonyesha. Moja ya maandiko imeonesha watu saba muhimu mbele ya mola wao na hii kutokana na tabia na mwenendo wa watu hao. 
1. Kiongozi Mwaadilifu
2. Kijana aliyekulia katika kumwabudu mola wake.
3. Mtu ambaye moyo wake umefungamana katika nyumba ya ibada
4. Watu wawili waliopendana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu
5. Mwanaume aliyeombwa zinaa na mwanamke mwenye hadhi na uzuri akaseme; mimi namuogopa Mwenyezi Mungu.
6. Mtu aliyetoa sadaka akaificha watu wasijue ametoa nini.
7. Mtu aliyemkumbuka mola wake akiwa faragha mpaka akali.

Be among those seven people!

FROM:
TAILORING DESIGNER
WAUZAJI NA WASHONAJI WA SARE ZA SKULI (UNIFORMS)
FUONI MAHARIBIKO - ZANZIBAR
0718001830 

No comments:

Post a Comment